Bangaloo la kisasa linapangishwa
nyumba kubwa ya familia ya kisasa inayojitegemea yenyewe kwenye fensi inapangishwa na ina sifa zifuatazo
#vyumba 6 vya kulala kati ya hivyo vyumba 2 ni master bedroom kubwa
#sebule kubwa
#dining room
#vyoo vya wageni vipo viwili juu na chini
#parking kubwa
#garden nzuri
#store
bei ni x 6
ilipwe laki 7 kwa mwezi malipo ya miezi 6
nyumba hii kubwa ipo mbezi kibanda cha mkaa upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1
bila kusahau pesa ya zarula ( caution money) ambayo ni kodi ya mwezi mmoja laki 7 ambayo inalipwa mara moja tuu unapoingia kwenye nyumba na ipo ndani ya mkataba