Nyumba ina vyumba 4 vya kulala 2 ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani.
Nyumba ipo ndani ya fence na inajitegemea yenyewe (stand alone).
Pia ipo karibu na barabara ya lami (bagamoyo road) na ipo mtaa mzuri wenye ulinzi wa kutosha pia kwa usafiri wa aina yoyote unafika mpaka nyumbani bila shida yoyote ile... karibu sana maongezi yapo