Hii nyumba inajitegemea yenyewe kwenye fensi ina vyumba 3 vikubwa sana vya kulala kimojawapo ni master bedroom kubwa sana, sebule kubwa, dining,jiko, public toilet, store,maji dawasco masaa 24,ipo mbezi kwa msuguri, upande wa kulia km unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 10 kwa miguu
bei ni 400k x 6 maongezi yapo kidogo