Nyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani.Nyumba ipo mtaa mzuri uliyojengeka kibabe.
Ipo ndani ya fence yenye geti lake na inafikika kwa urahisi kwa usafiri wa aina yoyote ile.
Ipo umbali wa mita 400 kutoka barabara ya lami karibu sana