Nyumba inapangishwa mbezi makabe msakuzi laki 250 kodi kwanzi miezi 3 na kuendelea
■■vyumba vitatu vya kulala kimoja master public toilet moja na jiko na seble pia dining
■■unajitegemea umeme
■■maji mnachangiana bill mwisho wa mwezi
■■ndani ya fence
■ukilipa kodi unalipa dalali mwezi mmoja