Nyumba ina vyumba3 vya kulala kimoja ni master,sebule,dinning, jiko la kisasa lenye makabati, public toilet, full A/C, parking ya kutosha na ndani ya hela ya kodi unakua umelipia maji, takataka na ulinzi karibu sana nyumba ipo mtaa mzuri sana na tulivu na ni karibu na barabara ya lami