#nyumba mpya inapangishwa
.
.
nyumba ina vyumba viwili (kimojawapo ni master), sebule,jiko, store na choo cha familia
.
.
nyumba ipo mbezi mwisho njia ya mpigi magoe umbali wa kilometa 4.5 kutoka morogoro road
.
.
nyumba ni mpya na zipo sita kwenye compound moja na imebaki moja tu
.
.
ambazo zinajitegemea umeme na maji yapo ya dawasco na yanaflow ndani
.
.
ndani ya fensi na parking ya kutosha mnoo na pia nyumba ina feni sebule na vyumbani
.
.
service charger