House for sale • nyumba inauzwa
iko ~ dar es salaamtz
mahali - mbezi beach upande wa chin
kutoka lami ni mita 100
mtaa wa kishua sana
___________________
maongezi yapo
________________
nyumba ya familia
_____________
uwanja una sqm -600
umiliki - hati milika
____________
vyumba v 5 vikubwa vya kulala
vyote master bedroom
sebule kubwa dinning na
jiko lenye space
servant quarter
ya chumba master
jiko lanje lenye makabati
____________________
said