Nyumba inauzwa ipo sala sala, hapo kwenye location nimeweka mbez beach kwa sababu hawana location ya sala sala. Ivyo wanatuambia tuandike location karibu na kitu kilipo ndio naamna nimeweka mbez beach. Ila nyumba ipo sala sala. Ina bedrooms tatu za kulala,sitting room, Dining, kitchen, public toilets, kiwanja chake sqm 800. Documents Tittle deed. Nyumba ipo umbali wa mita 200 kutoka Barabara ya rami.karibu