Apartments yenye chumba master na jiko ful furniture inapangishwa
ipo mbezi beach afrikana upande wa chini nyumba ipo mtaa mzuli sana tulivu ni dk 2 tu kwa mguu kutoka lami kuu ya bagamoyo road
bei ni laki 400,000 kwa mwezi malipo niya kwanzia miezi miwili na kuendelea
ni pamoja na malipo ya dalali ya mwezi mmoja
ina vitu vifuatavyo
#a/c#internet#free water#smart#tv#choo#nicha#kukaa#sofa#friji#jiko#la#gesi#luku#niyakujitegemea#kitanda#cha#kisasa
#nk
nb:: kila kitu nilichoandika hapo kwenye maelezo kipo ndugu mteja njoo mmoja kwa moja kwenye nyumba
#cal071XXXXXXX