Furahia utulivu, usalama na mazingira ya asili katika apartment hii nzuri ya ghorofa ya chini iliyopo Mbezi Beach karibu na Whitesands Hotel, Mwamunyange Road.
Sifa za Nyumba: Vyumba 2 vya kulala
Chumba kikuu (Master) kina choo na bafu ndani
Bustani kubwa na salama
Maegesho ya kutosha
Sakafu za vigae (tiles)
Huduma ya internet inapatikana
Lipa bili zako binafsi (maji na umeme)
Ipo kandokando ya barabara ya lami
Mazingira tulivu karibu na msitu wa mikoko (mangrove forest)
Inafaa kwa familia ndogo, wataalamu, au mtu yeyote anayependa mazingira ya utulivu karibu na bahari.
Kodi: Tsh. 1.6m kwa mwezi
Eneo zuri: Mbezi Beach – karibu na Whitesands Hotel