Apartment zinauzwa mbagala chamazi wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam
Apartment zina vyumba vi 8.kila chumba kina choo chake,kina luku yake,kina mita yake ya maji na kina jiko lake.Ipo karibu kabisa na barabara kuu ya lami
Mmiliki wa sasa amepangisha kila chumba laki moja.
Bei yake shilingi milioni 125
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu