Nyumba inauzwa mbagala chamazi kwa mkongo wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Kwenye Nyumba kubwa kuna vyumba vi nne,sitting room, dining room, store na jiko.Vyumba vyote ni master bedroom.
Pia kuna ki gorofa chenye chumba choo juu,na chumba choo juu.
Bei yake shilingi milioni 230
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu