Nyumba inauzwa mbagala chamazi kwa mkongo wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Nyumba ina jumla ya vyumba 6
Kwenye nyumba kubwa kuna vyumba vi nne,sitting room, dining room, store na jiko.Uwani kuna ki gorofa chenye chumba choo juu na chumba choo chini.
Bei yake shilingi milioni 230
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu