Nyumba inauzwa mbagala chamazi kwa Dumba wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Nyumba ina vyumba vi tatu, sitting room na jiko.Haipo mbali na barabara kuu ya lami.Ipo umbali wa mita 500 tu kutoka barabara kuu
Bei yake shilingi milioni 48
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu