Nyumba nzuri na ya kisasa inauzwa kwa mnada wa benki mil 29.9 mbagala machinjioni kata ya mianzini wilaya ya temeke km 1.4 toka lami unaingilia kwa mbiku au sheli comco oil
area :sqm 400
price : mil 29.9
umiliki:mkataba wa mauziano
sifa:-
-vyumba vitatu vya kulala, kimoja ni master
-jiko na stoo
-sebule
-choo cha public
-kuna servant cotter ya vyumba 3 na sebule pamoja na fremu 2 za biashara
huduma zote zipo... gharama ya kupelekwa site ni sh elf 30. hii haihusishi usafiri
iss