Nyumba inauzwa million 55 #chanika_kwa_ngwale (kabla hujafika chanika mwisho), wilaya ya ilala-dsm
vyumba vitatu (kimoja master)
sebule
dinning
jiko
choo cha public
store
maji
umeme
plot size sqm 400
bei mil 55 tu (unaweza kuanza na mil 35 pesa inayobaki utalipa kwa awamu, tunakuwekea mpaka madirisha ya vioo
ipo mita chache kutoka kwenye lami ambako ndo stand, huduma zote muhimu zipo!!