Godown inakodishwa mbagala mission wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Godown ina kuubwa wa square meter 1500.
Godown ina parking space,ina washing space,ina office space
Kodi ni shilingi milioni 20 kwa mwezi.
Inatakiwa kodi ya miezi sita au zaidi.
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu.