Nyumba inauzwa kibaha mlandizi,ina vyumba vitatu vya kulala,sitting room,Dining,kitchen,public toilet, nyumba bado haijakamilika,ila imesha zungushiwa ukuta yote.kiwanja chake sqm 750..ipo eneo zuli sana.umbali wa kilometa 1.8 kutoka morogoro road. Kwenda kuona nyumba service charge Tsh 50000/=