. *lodge inauzwa maili moja-kibaha, pwani*
*distance* umbali kutoka morogoro road ni mita 400
-ndani ya eneo lenye *lodge* kuna majengo 5
-plot size sqm 4000
-hati ipo (title deed)
*jengo la kwanza kubwa* la lodge lina vyumba 20 vyote master pamoja na ac
*jengo la pili* ni bar kubwa yenye uwezi wa kuchukua watu 60 ina counter kubwa, jiko kubwa na stoo.
*jengo la tatu* ni ukumbi wa sherehe na mikutano wenye uwezo wa kuchukua watu 100
*jengo la nne* ni ukumbi wa sherehe au mikutano wenye uwezo wa kuchukua watu 30
*jengo la tano* ni office, chumba cha gym na stoo kubwa na vyoo.
-kuna tank kubwa za maji zenye ujazo wa lita 5000 kila moja
-pia lipo generator kubwa endapo umeme unakatika linatumika.
*bei shilingi milioni 270 maongezi yapo*