tre.gif
Sell faster
Buy smarter
  1. All ads
  2. Property
  3. Commercial Property for Sale
  4. Hotels for sale
Kibaha, Pwani, Maili Mmoja
28 views

Kibaha: Lodge, Bar, Kumbi Na Ofisi Vinauzwa - Pwani

+1
Mita 400 kutoka Morogoro Road
Address
Hotel
Property Type
Fairly Used
Condition
4000 sqm
Square Metres
Furnished
Furnishing
10+
Parking Spaces
Store address
Dar es Salaam • Ilala
Sitakishari, Ukonga
Closed now
• Mon - Fri, 09:00-17:00
• Mahali: Maili 1, mita 400 toka Morogoro Road • Ukubwa wa kiwanja: Sqm 4,000+ (ekari 1) • Nyaraka: Hati • Bei: TZS milioni 250 • Kupelekwa kuona: TZS 30,000 . jengo la lodge lina vyumba 20 vyote self contained. Pia vyumbani kuna tv na ac jengo la bar lina uwezo wa kuketisha watu 60 kwa pamoja. Pia lina kaunta kubwa, jiko kubwa na stoo jengo la kwanza la ukumbi wa mikutano/shughuli lina uwezo wa kuchukua watu 100 jengo la pili la ukumbi wa mikutano/shughuli lina uwezo wa kuchukua watu 30 jengo la utawala lina ofisi, chumba cha mazoezi na stoo kubwa kuna tenki za kuhifadhia maji zenye ujazo wa lita 5,000 na jenereta endapo umeme utakatika kuna uzio, paving, miti ya kivuli, bustani na nafasi kubwa kwa maegesho ya gari
TSh 250,000,000
1 Feedback view all
Safety tips
  • It's safer not to pay ahead for inspections
  • Ask friends or somebody you trust to accompany you for viewing
  • Look around the apartment to ensure it meets your expectations
  • Don't pay beforehand if they won't let you move in immediately
  • Verify that the account details belong to the right property owner before initiating payment