• Mahali: Maili 1, mita 400 toka Morogoro Road
• Ukubwa wa kiwanja: Sqm 4,000+ (ekari 1)
• Nyaraka: Hati
• Bei: TZS milioni 250
• Kupelekwa kuona: TZS 30,000
.
jengo la lodge lina vyumba 20 vyote self contained. Pia vyumbani kuna tv na ac
jengo la bar lina uwezo wa kuketisha watu 60 kwa pamoja. Pia lina kaunta kubwa, jiko kubwa na stoo
jengo la kwanza la ukumbi wa mikutano/shughuli lina uwezo wa kuchukua watu 100
jengo la pili la ukumbi wa mikutano/shughuli lina uwezo wa kuchukua watu 30
jengo la utawala lina ofisi, chumba cha mazoezi na stoo kubwa
kuna tenki za kuhifadhia maji zenye ujazo wa lita 5,000 na jenereta endapo umeme utakatika
kuna uzio, paving, miti ya kivuli, bustani na nafasi kubwa kwa maegesho ya gari