Ni bonge la mjengo...
Ukubwa wa kiwanja ni sqm 1302
Mjengo unavyumba vitatu sebule jiko stoo nk
Mjengo una full camera, kisima cha maji nk
Mjengo upo mita 500 tu! Kutoka lami
Mjengo upo kisesa center barabara ya kuelekea usagara jijini Mwanza
Mjengo unauzwa milioni 110 cash
(Muhusika kaamishwa kikazi)