Boma linauzwa kisesa mtaa wa kanyama
-Ina vyumba 3 vya kulala, kimoja ni self
-Sebule, dinning, jiko, na shimo la choo
-Ukubwa wa kiwaja 50X30 ( kimepimwa )
-Nguzo ya umeme ipo pemben ya nyumb
-Majirani wapo
NB:-
Umbali kwa boda kutoka barabara ya lami nauli ni sh 1,000 tu mpaka site
Follow Us On Social Media
Instagram/Facebook/Tiktok/Youtube
Kwa Huduma Na Mawasiliano,
Simu +