NYUMBA INAUZWA KISESA
-ina vyumba vitatu vya kulala, kimoja ni self contained, sebule, dinning room, jiko na public toilet
-ukubwa wa kiwanja ni Sqm 408
-ina hati miliki mkononi
-bei ml 49
-umeme na maji vipo
-barabara nzuri ipo
-umbali toka lami ( musoma road ) ni mita 300 tu
Follow Us On Social Media
Facebook/Instagram/Youtube/Tiktok/Twitter
Kwa Huduma Na Mawasiliano,
Simu +