Nyumba 10 kwa pamoja zinauzwa kisesa
-kila nyumba ina chumba self contained, sebule na jiko
-ukubwa wa eneo ni 50×20 ( pamepimwa )
-ina hati miliki mkononi
-nyumba ni ya kwanza kutoka barabara ya lami na ipo sehemu nzuri sana
-nyumba zimejengwa kisasa kabisa