nyumba bado ina upya wake
nyumba inauzwa ipo tanga korogwe (mji mpya)
bei milion 45 inapungua kias
ina vyumba v3... viwili ni masta
dining, siting stoo jiko,tailiz, jipsam
eneo sqm 1200
umiliki wa eneo ni leseni ya makazi
ina visima viwili vya maji safi cha kuchimba na kuvuna
unatembea tu kwenda stend na shule