NYUMBA INAUZWA KISEKE - NSUMBA
-ina vyumba vitatu vya kulala, kimoja ni self contained, sebule, dinning, jiko, stoo na public toilet
-ukubwa wa kiwanja ni 600 (SQM) (30*20) (pamepimwa )
-umeme na maji vipo
-bei Ni Mil 50 ( mazungumzo yapo )
NB:-
NI NYUMBA YA NNE (4) KUTOKA BARABARA YA LAMI
wasiliana nasi