Nyumba hii ipo Arusha ngaramtoni ina ukubwa wa SQM 750,ina vyumba 3 vyote ni master, inasebule kubwa yenye nafas yakutosha, dining kubwa,jiko kubwa stoo na republic toilet,,ipo ndani ya fens,kiwanja cha nyumba hii kinalipiwa kodi serikani kila mwaka, ilikuwa inakaliwa na mtumishi wa UN alikuwa mpangaji,ila kwasasa kuna mpangaji mpya ambae ameomba akae japo kwa miez 6 baada ya kuambiwa nyumba ipo sokon amekubali hiyo anajua kila kitu mteja akija hata leo bas yy anatoka kwakuwa ndio makubaliano ya mkataba na mwenye nyumba watamalizana wenyewe mteja hahusiki,,hii haina dalali mteja ukija unaungashwa moja kwa moja na mwenye nyumba kunegotiat,,mm ni fundi tu ambae nipo nafanya marekebisho hapa baada ya mpanganja wa mwanzo kutoka,ndio nimepewa kaz na mwenye nyumba mteja akipatikana basi nimkutanishe nae,
Call/watsup+