Eneo hili lipo kipawa kuna maeneo matatu ambayo ukiunganisha unapata heka 5 ambayo unauwezo wakuweka hotel, nyumba za kupangasha,sheri yamafuta super market yadi ya magari n,:k maeneo haya mawali ni nyumba za wapangaji na kila eneo lina lesseni ya makazi hili moja lina lesseni ya kijiji
Kumbuka maeneo haya ni maeneo ya viwanda na bandali kavu uzuri zaidi tupo karibu kabisa na uwanja wa ndege karibu sana boss anza safari ya utajili na Martin masala