Tumevunja beiiiiii anza mwaka na hii nipe offa nikusikilize
*eneo/shamba zuri sana linauzwa binafsi*
loc: kibaha mpiji area, pwani, ni kilometa 10 kutoka morogoro road
ukubwa: ~ heka 20
price : kutoka mil 8 kwa kila ekari mpaka mil 7 kwa ekari moja,,
umiliki: mkataba wa mauiziano wa serikali ya mtaa,
eneo lilipimwa viwanja,, unaweza kuendeleza huo mradi au kufanya jambo lingine,, eneo linatazama barabara inayoenda mpiji station na ni km chache tu kutoka mpiji station
.
huduma zote zipo... gharama ya kupelekwa site ni sh elf 30, zingatia gharama hii