tre.gif
Sell faster
Buy smarter
  1. All ads
  2. Property
  3. Land & Plots for Rent
  4. Farmland for Rent
Promoted
Dar es Salaam, Kinondoni
67 views

Kibaha Mpiji Farm on Sale

+1
Farmland
Type
4900 sqm
Square Metres
Tumevunja beiiiiii anza mwaka na hii nipe offa nikusikilize *eneo/shamba zuri sana linauzwa binafsi* loc: kibaha mpiji area, pwani, ni kilometa 10 kutoka morogoro road ukubwa: ~ heka 20 price : kutoka mil 8 kwa kila ekari mpaka mil 7 kwa ekari moja,, umiliki: mkataba wa mauiziano wa serikali ya mtaa, eneo lilipimwa viwanja,, unaweza kuendeleza huo mradi au kufanya jambo lingine,, eneo linatazama barabara inayoenda mpiji station na ni km chache tu kutoka mpiji station . huduma zote zipo... gharama ya kupelekwa site ni sh elf 30, zingatia gharama hii
Safety tips
  • It's safer not to pay ahead for inspections
  • Ask friends or somebody you trust to accompany you for viewing
  • Look around the apartment to ensure it meets your expectations
  • Don't pay beforehand if they won't let you move in immediately
  • Verify that the account details belong to the right property owner before initiating payment