Jumba la kifahari linauzwa, lina vyumba vinne viwili master,jiko kubwa,dinning, sebule kubwa,public toilets.
lipo kwenye eneo kubwa la square metres 3000.
lote limezungushiwa fence,ndani kuna servant quarter mbili za chumba na sebule,jiko,pia kuna garage.
lipo kibamba/gogoni.
umbali kutoka morogoro road ni metre 200 tu.
inataka 250m.
maelewano mezani.
document:hati ya mauziano na urasimishaji za serikali ya mtaa.
hati on process.