Nyumba i n a u z w a tzs 300 milioni
location mikocheni b mtaa wa wami dar es salaam tz
nyumba ni ya apartment 2 kila moja ina
vyumba 2 vya kulala no master
sebule
jiko
public
pia kuna servant quarta yenye
sebule ,chumba choo ndani
jiko
singo 1
chumba sebule
public ya nje
ukubwa wa eneo sqm 300
document hati miliki ya wizara ya aridhi
umbali mita 200 kutoka stend ya mikocheni b pia sio mbali na kwa waliyoba
bei tzs 300 milioni