Nyumba ipo Block F, Msakuzi Mbezi, Ubungo Municipal, Dar Es Salaam, kilometres 6 kutoka barabara ya Goba - Mbezi kupitia Makabe. Ukuta wa fence ume cover viwanja viwili vyenye eneo la 859 sq meters
Nyumba ipo kwenye uzio wa ukuta wenye electric fence, ina stand-by solar power backup system kwaajili ya umeme, ina mifumo ya kukusanya na kuhifadhi maji ya mvua ambayo yanakidhi kwa matumizi ya mwaka mzima na kuna automatic pump ambayo ina supply nyumba nzima. Ina nyumba kubwa yenye bedrooms 3 na moja ni master, sitting room, dinning room, kitchen, store na public toilet. Ina servant quarter yenye 3 bedrooms, kitchen na public toilet. Ina garage yenye mageti yake ambayo inaingiza gari ndogo 2 na ina eneo kubwa lenye miti na maua.