Nyumba inauzwa kimara mwisho upande wa kushoto kama unaenda mbezi( kwa beka)
=
nyumba ina vyumba 3 vyakulala kimojawapo master bedroom sebule dinning jiko na public toilet, pia kuna servant corter ya vyumba viwili
==
ukubwa wa eneo sqm 500
=
nyumba ipo ndani ya fence parking ipo,umeme na maji tayari, tiles na gypsum board tayari bado finishing ndogo ndogo
=