Nyumba mbili ndani ya kiwanja kimoja zote kwa pamoja zinauzwa
location:mbweni ubungo
bei tsh milion 300 maongezi yapo
ukubwa wa kiwanja sqm 1250
umiliki:hati miliki ya wizara ya ardhi
kila nyumba inajitegemea fensi yake na gate lake, pia kila moja inajitegemea kwenye umeme wake yaan kila moja ina luku yake
pia kila moja inajitegemea mita yake ya maji dawasco
kila nyumba ina vyumba 3 vya kulala
1 master bedroom
sitting room
dinning room
kitchen
store
public toilet
fenced and gate
full.acc
perving block
gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba tsh 30,000/=