NYUMBA INAUZWA
IPO TABATA-KINYEREZI KIFURU
Ukubwa wa eneo ni 983 Square metres
nyumba ina vyumba 5 vitatu ni master bedrooms na viwili vya kawaida, dining room kubwa, sitting room kubwa sana, jiko, store, public toilet, study room, lounge kubwa sana, exercise area, Spain tiles, modern aluminium windows, full fanced, jiko la nje lipo pia, Choo cha nje cha kisasa kipo pia, resting area, cars parking space .
Ipo sehemu tambalale sio mlimani wala bondeni.
Kuna kisima cha kisasa chenye mita 120 (maji ni ya UHAKIKA
kuna fremu 6 mbele ya nyumba zimepakana na barabara pamoja na choo chake.
Nyumba ipo mita 700 toka barabara ya lami kinyerezi- mbezi.
Bei ni Tsh. 300M. Negotiable