Nyumba nzuri sana ila inahitaji marekebisho ya rangi na mfumo wa maji kidogo
Nyumba inauzwa na mtu binafsi na ipo mikocheni karibu na shule ya ALFA pia ni nyumba ya pili kutokea barabara ya lami
Nyumba kwasasa inatumika kwa matumizi ya ofisi, lakini imejengwa kama appartment ya kuishi Familia moja
Nyumba ina Servant kwa nyumba ambayo inaweza tumika kama makazi ya kuishi pia,