Nyumba inauzwa
ipo mbezi mwisho makabe
bei tsh milion 80 maongezi yapo
ukubwa wa eneo sqm 500
umiliki:mauziano ya serikali ya mtaa
vyumba 3 vya kulala
chumba kimoja master
sitting room
dinning room
kitchen
public toilet
fenced and gate
pia kuna servant quarter ya chumba master,sebule na jiko
gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba tsh 20,000/=