Nyumba inauzwa
ipo kunduchi mtongani
bei tsh milioni 185 mazungumzo yapo kiasi
ukubwa wa eneo sqm 700
umiliki: nyaraka za mauziano ya serikali ya mtaa
vyumba 4 vya kulala
vyumba 2 ni master
sitting room
dinning room
kitchen
store
public toilet
fenced and gate
maji yapo
umeme upo
pia kuna servant kotta ya vyumba viwili vya kulala
pia kuna fremu 3 za biashara(maduka)
gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba tsh 50,000/=