Nyumba mbili ndani ya eneo moja zinauzwa
location: kimara b
bei tsh milion 85 maongezi yapo kidogo
ukubwa wa eneo sqm 700
umiliki:mauziano ya serikali ya mtaa
nyumba zipo mbili kwenye fensi moja kila nyumba ina
kila nyumba ina vyumba 2 vya kulala
kila ina vyumba 2 vya kulala
chumba kimoja master
sitting room
dinning room
kitchen
public toilet
fenced and gate
maji yapo
umeme upo
kila nyumba inajitegemea mita ya maji na mita ya umeme(luku)
gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba tsh 30,000/=