Nyumba Nzuri Inauzwa milioni 45 maongezi yapo Ipo KIBAHA MAILI MOJA (mtaa wa mkoani B kwa DACHI)
Vyumba Vinne vya Kulala kati ya hivyo Vyumba viwili ni self contenad
Master Bedroom
Sitting room
Dining room
◇ Kitchen
Public toilet
Ukubwa wa kiwanja: sqmt 1100
◇document : clean TITLE DEED (Hati miliki kutoka wizara ya aridhi)
◇ Maji safi dawasco umeme vyote vipo kwenye nyumba
◇Nyumba ipo mtaa mzuri sana majirani wamepangika vyema sana
◇Nyumba ipo Umbali wa kilomita 1 tu kutoka Morogoro road au maili moja stendi