Ghorofa inauzwa mbagala chamazi manispaa ya temeke dar es salaam
kwa tshg millioni 280,000,000/= 280m
ukubwa wa eneo sqm 3000
ina hati miliki safi mkononi
iko ndani ya fensi kama unavyoiona kwenye tangazo
umbali toka stendi kwenda kwenye nyumba dk 5
ina vyumba vinne 4 vya kulala master bedroom dinning room public toilet jiko na sitting room
ina full ac
njoo ukague nyumba tumalize biashara mapema tu
gharama ya kwenda site ni shilingi 20,000/=
nahitaji mteja sitaki mpambe kama ni mpambe gharama ya kwenda site ni 30000/=