NYUMBA NYUMBA INAUZWA
nyumba anauza dadaangu ipo kwenye fensi ndani kuna nyumba mbili
Kubwa ya vyumba vitatu viwili master kimoja single
Nyumba ina ac vyumba vyote jiko la kisasa store dining na sebule kubwa
Nyumba ndogo ina vyumba viwili jiko choo sebule na store pia full ac
Anauza vyote kwa ujumla 140m maongezi
Nyumba ipo Africana sec school
Umbali kutoka barabara ya lami ni mita 50 tu