Anyumba inauzwa
ipo ubungo makoka, umbali wa km 2 toka morogoro road au unaweza kupitia kimara korogwe njia ya zege
bei tsh milion 60 maongezi yapo
ukubwa wa eneo sqm 400
vyumba 3 vya kulala
chumba kimoja master
kitchen
sitting room
dinning room
public toilet
fenced and gate
maji yapo
umeme upo