Nyumba inauzwa
ipo tegeta kibo complex
bei tsh milioni 200 maongezi yapo
ukubwa wa eneo sqm 800
umiliki; mauziano ya serikali ya mtaa
vyumba 3 vya kulala
chumba kimoja master
sitting room
dinning room
kitchen
store
public toilet
fenced and gate
maji yapo ya dawasa
umeme upo
gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba tsh 30,000/=