Nyumba hii ya kisasa inauzwa tabata kinyerezi mwisho inajitegemea kwenye fence dar es salaam-tanzania
location: tabata kinyerezi mwisho
umbali ni dakika 4 kutoka kinyerezi mwisho stend
wilaya ya ilala
ukubwa wa kiwanja ni sqm 500
umiliki-ni nyaraka za serikali za mtaa
sifa zake
ina vyumba 3 vya kulala
1 master bedroom
sebule
dinning room
jiko makabati
stoo
public toilet
maji dawasco
maji kisima
peving block
reserve water tank
kwa mawasiliano zaidi karibuni sana