Nyumba kubwa ya kisasa ya familia inauzwa pamoja na servant coter yake ya chumba master na sebule
bei ni milioni 90 maongezi yapo
nyumba hii ina sifa zifuatazo
vyumba 3 vikubwa vya kulala
chumba kimoja wapo ni master bedroom kubwa sebule kubwa
dinning
jiko kubwa
store
public toilet
ukubwa wa kiwanja sqm 750
documents:- mauziano halali kutoka serikali ya mtaa
bei ya kuuzwa ni milioni 90 maongezi yapo
d 9 nyumba hi ipo
#mbezi_mwisho njia ya kuelekea mpigi magohe na kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 3 na kutoka mpigi road hadi kwenye nyumba ni sekunde 10 tuu kwa miguu
kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 25k ndugu mteja