Nyumba inauzwa imegusa barabara kuu ya lami
ipo mbweni
bei tsh milioni 178 maongezi yapo kidogo
ukubwa wa eneo sqm 700
umiliki:mauziano ya serikali ya mtaa, pameshapimwa tayari
vyumba 3 vya kulala
kimoja master
sitting room
dinning room
kitchen
public toilet
maji yapo
umeme upo
fenced and gate
pia kuna fremu 2 za biashara
gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba tsh 50,000/=