Nyumba nzuri inauzwa ( mil 35 ) mbezi mwisho msumi
ina vyumba vitatu kimoja master, sitting, kitchen&public toilet
umiliki : mauziano ya serikali ya mtaa
ukubwa wa eneo: sqm 350
umbali: meter 900 tu kutoka barabara kuu ya msumi
maji safi na umeme vyote vipo kwenye nyumba
bei : 35 million (maongezi kidogo)
gharama za kwenda site ni tshs 30,000/=